DUKA LA KISASA LA FEEDTAN

Dodoso

Tafadhali jaza uchunguzi huu fupi ili kutusaidia kuelewa ni bidhaa zipi zina uhitaji mkubwa na jinsi ya kuboresha huduma hii. 🙏

1. Ni bidhaa zipi unazonunua mara nyingi kwa matumizi ya kila siku?

2. Je, ungependa huduma ya delivery?

3. Jedwali la Bidhaa unazotumia Mara kwa Mara

Bidhaa #1
Bidhaa #2
Bidhaa #3
Bidhaa #4
Bidhaa #5

4. Ni bidhaa gani moja unadhani inahitajika sana lakini haipatikani kirahisi?

5. Je, una bidhaa yeyote ambayo ungependa iuzwe kwenye duka la feedtan? (itaje)

6. Je una mapendekezo yoyote kuhusu wazo hili la duka?